Riruta is the latest estate in Dagoretti to have CoronaVirus positive cases. This is after one person was confirmed positive. In the last 24 hours […]
Mbunge wa Dagoretti Kusini John Kj Kiarie ajiwasilisha kwa polisi
Mbunge wa Dagoretti kusini John Kj Kiarie alijiwasilishi kwa kituo cha polisi cha Kabete. Mbunge huyo alichapisha ujumbe katika mtandao wa kijamii akidai kuwa idadi […]
Gavana wa Kakamega kupimwa virusi vya Corona
By Kevin Oduor Wycliffe Oparanya alitangaza kuwa atafanyiwa vipimo vya Covid-19. Hii ni baada ya kutangamana na maafisa watatu ambao walisafiri nchini Italia hii majuzi […]
Oparanya awaonya wananairobi Dhidi ya Kusafiri Nyumbani Kusambaza Corona
Wakenya wanaoishi mijini wameshauriwa wasisafiri kuelekea mashinani wakati huu ambapo serikali inajitahidi iwezavyo kudhibiti ueneaji wa virusi vya corona. Mwenyekiti wa Baraza la Magavana Wycliffe […]
Mkenya wa Kenya wa kwanza augua virusi vya Corona
Mwandishi: Kevin Oduor Wizara ya Afya imeripoti kisa cha kwanza cha virusi vya ugonjwa wa corana nchini. Kulingana na Waziri wa Afya Mutahi Kagwe, Mkenya […]
Uhuru akutana na magavana wa Bonde la Ufa kwa Maandalizi ya BBI
Baadhi ya ajenda waliojadili magavana hao ilikuwa ni kuhusu mchakato wa BBI.
How a woman in Kangemi slums turns wastes into charcoal
Ruth Wangari Githaika says the idea of how wastes could be reused is something that kept on crossing her mind for several years.
Kenei: Polisi wa Ruto aliyefariki alikuwa na donda la risasi shingoni
By Kevin Oduor Polisi huyo ambaye anaaminika kuwa alikwa na taarifa muhimu kuhusu sakata ya zabuni ya kununua vifaa vya jeshi alipatikana chumbani kwake wiki […]
Ministry of Education donates lockers to the new Riruta Mixed Secondary School
By Kamadi Amata During a public participation in February 2018, it was raised that there was need to have that at least two secondary Schools […]
Serikali yatangaza Juma Nne Wiki Ijayo kama siku ya likizo kuomboleza Moi
Mwandishi: Kevin Oduor Kupitia kwa Mkuu wa Utumishi wa Umma Joseph Kinyua, serikali pia imetoa utaratibu utakaofuatwa wakati wa shughuli ya mazishi hadi atakapozikwa mzee. […]
A new Day Mixed Secondary school in Dagoretti to boost the government`s 100 % transition policy
By Tebby Otieno The government`s 100 % transition policy has gotten a boost in Dagoretti Sub County, following the launch of a new secondary […]
Tangatanga kuandaa Ralli Mbadala ya BBI Nakuru
Wabunge wa Jubilee wakiongozwa na Seneta wa Elgeyo Marakwet Kipchumba Murkomen wametangaza amza hiyo.
Babu Owino asalia rumande kwa siku saba kwa kosa la kujaribu kumuua DJ Evolve
Babu alikana mashtaka dhidi yake na atazuiliwa kwa siku saba zaidi huku uchunguzi dhidi yake ukiendelea. Kama ilivyoripotiwa awali, Babu alikamatwa baada ya kumpiga risasi […]
Msichana auwawa Kabiria Dagoretti na mwili kutupwa mtaroni
Mwili wa msichana wa umri wa miaka kati ya kumi na minaNe na ishirini na sita ulipatikana kwenye mto karibu na eneo la Cabby Centre […]
Babu Owino Mashakani kwa tuhuma za kumpiga risasi Deejay Evolve
Kwenye kanda ya video iliyosambazwa katika mtandao wa kijamii, jamaa anayeaminika kuwa Babu na ambaye alikuwa amevalia shati lenye rangi ya machungwa alionekana akimfyatulia risasi […]
THE EXCELLENCE SCHOOL OF KAWANGWARE SLUM
By Tebby Otieno tebbyotieno62@gmail.com At thirteen years old, he was so happy that his hard work had finally landed him opportunity, in a boarding boy’s […]
Uhuru asitisha utekelezaji wa Sheria mpya za NHIF
Amri ya rais aliyoitoa Jumanne, Januari 14, katika Ikulu ya Mombasa iliwadia baada ya Wakenya kulalamika, wakiwemo Muungano wa vyama vya wafanyakazi (COTU) na viongozi kadha kutoka pembe mbalimbali za nchi.
Mwangi Kiunjuri akutana na Moses Kuria baada ya kufutwa kazi na Rais
Mbunge wa Gatundu Kusini Moses Kuria alipongeza Rais Uhuru Kenyatta kwa kufanya mabadiliko kwenye serikali yake.
Jaji Mativo aamuru Mwanasheria Mkuu Kujiwaslisha Kotini Kutetea Serikali Kuhusu Masaibu Miguna Miguna
Jaji Mativo aamuru Mwanasheria Mkuu Kujiwaslisha Kotini Kutetea Serikali Kuhusu Masaibu Miguna Miguna
Wanabiashara wa Kawangware walilia Ushuru wa Uzalendo ‘Patriotism Tax’
Wanabiashara wa Kawangware walilia Ushuru wa Uzalendo ‘Patriotism Tax’
Watoto wa Kangaroo Junior School Dagoretti wakosa kufungua shule kwa ukosefu wa chakula shuleni
Watoto wa Kangaroo Junior School Kabiria wakosa kufungua shule kwa ukosefu wa chakula shuleni
Mwakilishi wadi Ngando Peter Waihinya aahidi kukamilisha miradi ya 2020
Mwakilishi wa wadi ya Ngando Peter Waihinya amekiri kuwa yuko katika harakati za kufanikisha miradi ya mwaka 2020. Mwakilishi huyo alitoa kauli hii katika mahojiano […]
Gavana wa Nairobi Mike Sonko akamatwa kwa tuhuma za ufisadi milioni 357
Gavana wa Nairobi Mike Sonko alikamatwa na makachero wa tume ya kupambana na ufisadi nchini EACC eneo la Voi. Haya yalijiri saa chache baada ya […]
Wajumbe 5 wazirai kwa foleni
Kongamano hili linaendelea katika jumba la mikutano la kimataifa la KICC.
Jubilee chambandua Abdi Guyo kama Kiongozi wa Wengi katika bunge ya kaunti ya Nairobi
Nafasi yake sasa inachukuliwa na Charles Thuo.
Mshukiwa wa Mauji wa Tob Cohen akamatwa
Mshukiwa huyo amekamatwa kufuatia ilani ya mahakama moja mjini Naivasha.
Silverstone yasitisha shughuli zake za usafiri
Wakati huu kampuni hiyo itawasiliana na wateja wake kuzuia mahangaiko zaidi.
Likoni Feri- Mariam Kigenda na mwanawe Amanda waopolewa baada ya siku 13 majini
Hatimaye mama na bintiye waliokuwa wamezama baharini eneo la kivuko cha Likoni, Kaunti ya Mombasa wameopolewa kutoka majini karibia siku kumi na tatu baada ya mkasa.
Precious Talent-Ibada ya Wafu yaandaliwa kwa wanafunzi 8 waliofariki kwa mkasa
Viongozi humu nchini wameendelea kukashifu kifo cha wanafunzi hao huku Serikali ya kaunti ya Nairobi ikiendelea kupokea lalama zaidi
Mashindano ya kukabiliana na Maradhi ya Moyo
Mwandishi : Fridah Okachi Mtu mmoja kati ya kumi hupoteza maisha huku watu wawili kati ya kumi wakilazwa kwenye hospitali kutokana na maradhi ya mshtuko […]
Mashirika yasiyo ya kiserikali wadi ya Gatina kwa ushirikiano na wakaazi washerehekea siku ya amani duniani
Mwandishi: Fridah Okachi Wakazi, viongozi wa miungano ya mashirika yasiyo ya kiserikali waadhimisha siku ya amani katika mtaa wa Congo. Josephine Njeri Njiru kiongozi wa […]
Dagoretti: Wanafunzi 7 waaga dunia baada ya madarasa kuporomoka mtaani Ngando
Wanafunzi 7 wamedhibitishwa kufariki kwenye mkasa wa ukuta kuporomoka na hatimaye madarasa kuanguka katika Shule ya Precious Talent, eneo la Ng’ando, mtaani Dagoretti, jijini Nairobi. […]
Afisa wa Polisi auwawa baada ya kuzozana na wenzake Kawangware
Afisa huyo wa polisi anayetambulika kama Benson Indeche alikwa akihudumu katika kituo cha polisi cha Riruta na alikwa katika ngazi ya Inspekta. Mwendazake anadaiwa kupigwa […]
Feeding and Toilet construction in Tollen Centre
Oya Oya Family, a group of our drive show fans led by Mc Barr Prince which was founded in 2016 started projects to support the centers.
ODM Yaahirisha Uteuzi wa Ubunge Kibra
Chama cha chungwa kilikwa kimeorodhesha wagombeaji kumi na mmoja kumenyana katika uteuzi wa mwaniaji atakayepeperusha bendera ya chama. Hata hivyo, siku tatu kabla ya wakaazi […]
Education burden in Dagoretti
So can a child whose parent earns Ksh. 200 in a day be promised of future life, if even basic education that the government says is free is still paid for?
Sakaja Reshuffles Nairobi County Leadership In Major Reorganization
Nairobi County Governor Johnson Sakaja has announced a significant reshuffle of county leadership, reassigning several County Chief Officers (CCOs) to new dockets. In a communiqué […]
IEBC Fines Two Kasipul By-Election Candidates 1 Million Each
The Independent Electoral and Boundaries Commission (IEBC) has fined two Kasipul parliamentary by-election candidates Sh1 million each for violating the Electoral Code of Conduct. In a ruling […]
Raila Odinga Jnr installed as the head of the Raila Odinga family, taking over the mantle of leadership.
A significant cultural ceremony has taken place at former Prime Minister Raila Odinga’s Opoda farm in Bondo, marking the installation of Raila Odinga Junior as […]
Nyeri Governor Mutahi Kahiga Resigns as CoG Vice Chair After Controversial Raila Odinga Remarks
Nyeri Governor Mutahi Kahiga has stepped down as the Council of Governors vice chairperson. Kahiga’s resignation comes amid public uproar over remarks he made on […]
ODM Demands Nyeri Governor Kahigas Resignation After Controversial Odinga Remarks
The ODM National Chairperson Gladys Wanga has demanded the immediate resignation of Nyeri Governor Mutahi Kahiga. This demand follows what ODM describes as “callous and […]
CoG REMOVES GOVERNOR KAHIGA AS VICE CHAIR
The Council of Governors has unanimously agreed to remove Nyeri governor Mutahi kahiga from his position as vice chair, following remarks made in his local […]
Former Prime Minister Raila Odinga dies at 80
Former Prime Minister Raila Odinga has died. He was 80. The Orange Democratic Movement (ODM) party leader died on Wednesday in the Indian city of […]
Martha Karua mourns Raila
People’s Liberation Party leader Martha Karua has sent a heartfelt message of condolence to Mama Ida Odinga and her family following the death of former Prime […]
US Pledges Enduring Support for Kenya Amid Global Shifts
The United States has assured Kenya of its continued support across key sectors, pledging to deepen the long-standing partnership between the two nations despite shifting […]
President Ruto Declares August 27 as Katiba Day
President William Ruto has announced that August 27 will henceforth be observed annually as Katiba Day, in commemoration of the promulgation of the 2010 Constitution. […]
