Wednesday, January 15, 2025
HomeNewsUjenzi wa Thiong'o Wakamilika

Ujenzi wa Thiong’o Wakamilika

Muakilishi wa wadi ya Mountain view Mourice Ochieng amewataka wakaazi wa wadi hiyo kuchukua fursa ya maendeleao eneo hilo kujiendeleza kibiashara. Akizungumza na Mtaani redio alipoongoza ukaguzi wa barabara ya Thiongo, Ochieng amelaumu uongozi uliokuwepo awali kwa kushindwa kukamilisha ujenzi wa barabara hiyo.Muakilishi huyo wa wadi ameiambia Mtaani redio kuwa kilicho salia ni mwana kandarasi kujenga mabomba ya kupasisha maji taka kando mwa barabara hiyo. Pia taa za usalama zimewekwa.

 

 

Na Kamadi Amata.

Kamadi Amata
Kamadi Amatahttps://mtaaniradio.or.ke
I am a digital content creator with niche in Health, politics, and Human Interest Features.
RELATED ARTICLES

Most Popular

Recent Comments

Solverwp- WordPress Theme and Plugin

Facebook

adapazarı escort Eskişehir escort bayan