Saturday, December 9, 2023
HomeNewsMzee Moi kupumzishwa jumatano...

Mzee Moi kupumzishwa jumatano…

Rais mtaafu Mzee Daniel Moi atazikwa Jumatano juma lijalo, nyumbani kwake Kabarak. Ibaada ya wafu itafanyika jumanne juma lijalo katika uwanja wa michezo ya Kasarani.Haya ni kwa mujibu wa waandalizi wa mazishi hayo. Moi aliaga dunia jumanne asubuhi baada ya kuugua kwa muda.

Kamadi Amatahttps://mtaaniradio.or.ke
I am a digital content creator with niche in Health, politics, and Human Interest Features.
RELATED ARTICLES

Most Popular

Recent Comments

Education Template

Facebook