Tuesday, January 7, 2025
HomeNewsCOVID 19 UpdatesWagonjwa wa CoronaVirus wafikia 59

Wagonjwa wa CoronaVirus wafikia 59

Kenya imethibitisha visa tisa zaidi vya wajonjwa wa covid-19. Waziri msaidizi wa afya Daktari Mercy Mwangangi amesema tisa hao ni kati ya waliyopimwa kwa saa ishirini nan ne zilizopita.Tisa hao sasa wanafikisha idadi ya wakenya ambao wameambukizwa virusi hivyo kufikia hamsini na tisa.

Daktari mwangangi amesema kwa kipindi cha saa ishirini na nne zilizopita watu mia mbili thelathini na wanne wamepimwa. Tisa kati yao wamepatikana na virusi hivyo.

Aidha amesema serikali inawafuatilia watu elfu moja mia moja na sitini ambao walikongamana na wale ambao wamepatikana na virusi hivyo. 

Serikali ilikataa kuchukua maswali kutoka kwa waandishi wa habari na kushikilia kuwa hilo litaendelea hadi hapo kesho.

Kamadi Amata
Kamadi Amatahttps://mtaaniradio.or.ke
I am a digital content creator with niche in Health, politics, and Human Interest Features.
RELATED ARTICLES

Most Popular

Recent Comments

Solverwp- WordPress Theme and Plugin

Facebook

adapazarı escort Eskişehir escort bayan