Idadi ya watu walioambukizwa virusi vya corona nchini imetimia 110, waziri wa Afya Mutahi Kagwe ametangaza. Akizungumza katika mkutano na wanahabari Alhamisi hii, Kagwe alisema […]
Category: COVID 19 Updates
Brenda na Brian wapona CoronaVirus
Rais uhuru Kenyatta amempongeza mjongwa wa kwanza wa virusi vya Covid-19 kwa kujitokeza na kujipeleka hospitalini baada ya kuhusi dalili za ugonjwa huo. Rais amesema […]
Wagonjwa wa CoronaVirus wafikia 59
Kenya imethibitisha visa tisa zaidi vya wajonjwa wa covid-19. Waziri msaidizi wa afya Daktari Mercy Mwangangi amesema tisa hao ni kati ya waliyopimwa kwa saa […]
CoronaVirus-Maeneo Hatari
Wakaazi wanaoishi maeneo ya kilimani, westlands na kibra wako katika hatari kubwa ya kuambukizwa virusi vya covid 19. Katika ramani inayotumiwa na wizara ya afya […]
