Skip to content
YouTube
Mtaani Radio
  • Home
  • Who We Are
  • About Us
  • Our Team
  • Management
  • Partnerships
  • Contacts

Category: News

  • Home
  • News
  • Page 78
Silverstone yasitisha shughuli zake za usafiri

Silverstone yasitisha shughuli zake za usafiri

  • Webmaster
  • November 12, 2019
  • 0

Wakati huu kampuni hiyo itawasiliana na wateja wake kuzuia mahangaiko zaidi.

Social Media addiction in college age students

  • Webmaster
  • November 6, 2019
  • 0

In a study recently published in the African Journal of Clinical Psychology, an affiliate of Daystar University in Nairobi, researchers found alarmingly high rates of […]

Rais Uhuru apigia simu mwanariadha Eliud Kipchoge kumtia moyo

Rais Uhuru apigia simu mwanariadha Eliud Kipchoge kumtia moyo

  • Webmaster
  • October 11, 2019
  • 0

Rais Uhuru Kenyatta alimpigia simu mkiambiaji mashuhuri Eliud Kipchoge kumtia moyo huku mwariadha huyo akijitayarisha kwa mbio za INEOS. Kwa video zinazosambaa katika mtandao wa […]

Likoni Feri- Mariam Kigenda na mwanawe Amanda waopolewa baada ya siku 13 majini

Likoni Feri- Mariam Kigenda na mwanawe Amanda waopolewa baada ya siku 13 majini

  • Webmaster
  • October 11, 2019
  • 0

Hatimaye mama na bintiye waliokuwa wamezama baharini eneo la kivuko cha Likoni, Kaunti ya Mombasa wameopolewa kutoka majini karibia siku kumi na tatu baada ya mkasa.

Precious Talent-Ibada ya Wafu yaandaliwa kwa wanafunzi 8 waliofariki kwa mkasa

Precious Talent-Ibada ya Wafu yaandaliwa kwa wanafunzi 8 waliofariki kwa mkasa

  • Webmaster
  • September 26, 2019
  • 0

Viongozi humu nchini wameendelea kukashifu kifo cha wanafunzi hao huku Serikali ya kaunti ya Nairobi ikiendelea kupokea lalama zaidi

DCI INAWAHOJI WAKUU WA SHULE YA PRECIOUS TALENT.

  • Webmaster
  • September 24, 2019
  • 0

Wakurugenzi wa shule ya Precious Talent ilioko eneo la Ng’ando Dagoretti hapa Nairobi wanahojiwa na DCI katika kituo cha polisi cha Kabete. Hii ni baada […]

Mashindano ya kukabiliana na Maradhi ya Moyo

Mashindano ya kukabiliana na Maradhi ya Moyo

  • Webmaster
  • September 23, 2019
  • 0

Mwandishi : Fridah Okachi Mtu mmoja kati ya kumi hupoteza maisha huku watu wawili kati ya kumi wakilazwa kwenye hospitali kutokana na maradhi ya mshtuko […]

Mashirika yasiyo ya kiserikali wadi ya Gatina kwa ushirikiano na wakaazi washerehekea siku ya amani duniani

Mashirika yasiyo ya kiserikali wadi ya Gatina kwa ushirikiano na wakaazi washerehekea siku ya amani duniani

  • Webmaster
  • September 23, 2019
  • 0

Mwandishi: Fridah Okachi Wakazi, viongozi wa miungano ya mashirika yasiyo ya kiserikali waadhimisha siku ya amani katika mtaa wa Congo. Josephine Njeri Njiru kiongozi wa […]

Dagoretti: Wanafunzi 7 waaga dunia baada ya  madarasa  kuporomoka  mtaani Ngando

Dagoretti: Wanafunzi 7 waaga dunia baada ya madarasa kuporomoka mtaani Ngando

  • Webmaster
  • September 23, 2019
  • 0

Wanafunzi 7 wamedhibitishwa kufariki kwenye mkasa wa ukuta kuporomoka na hatimaye madarasa kuanguka katika Shule ya Precious Talent, eneo la Ng’ando, mtaani Dagoretti, jijini Nairobi. […]

Afisa wa Polisi auwawa baada ya kuzozana na wenzake Kawangware

Afisa wa Polisi auwawa baada ya kuzozana na wenzake Kawangware

  • Webmaster
  • September 5, 2019
  • 0

Afisa huyo wa polisi anayetambulika kama Benson Indeche alikwa akihudumu katika kituo cha polisi cha Riruta na alikwa katika ngazi ya Inspekta. Mwendazake anadaiwa kupigwa […]

Posts pagination

Previous 1 … 77 78 79 Next
  • YouTube
  • Facebook
  • X
  • LinkedIn
  • Instagram
<!-- wp:shortcode -->
[gslogo id=48]
<!-- /wp:shortcode -->
Copyright © 2026 Mtaani Radio Theme: kabiria4w By .