Mwandishi : Fridah Okachi Mtu mmoja kati ya kumi hupoteza maisha huku watu wawili kati ya kumi wakilazwa kwenye hospitali kutokana na maradhi ya mshtuko […]
Category: News
Mashirika yasiyo ya kiserikali wadi ya Gatina kwa ushirikiano na wakaazi washerehekea siku ya amani duniani
Mwandishi: Fridah Okachi Wakazi, viongozi wa miungano ya mashirika yasiyo ya kiserikali waadhimisha siku ya amani katika mtaa wa Congo. Josephine Njeri Njiru kiongozi wa […]
Dagoretti: Wanafunzi 7 waaga dunia baada ya madarasa kuporomoka mtaani Ngando
Wanafunzi 7 wamedhibitishwa kufariki kwenye mkasa wa ukuta kuporomoka na hatimaye madarasa kuanguka katika Shule ya Precious Talent, eneo la Ng’ando, mtaani Dagoretti, jijini Nairobi. […]
Afisa wa Polisi auwawa baada ya kuzozana na wenzake Kawangware
Afisa huyo wa polisi anayetambulika kama Benson Indeche alikwa akihudumu katika kituo cha polisi cha Riruta na alikwa katika ngazi ya Inspekta. Mwendazake anadaiwa kupigwa […]
Feeding and Toilet construction in Tollen Centre
Oya Oya Family, a group of our drive show fans led by Mc Barr Prince which was founded in 2016 started projects to support the centers.
ODM Yaahirisha Uteuzi wa Ubunge Kibra
Chama cha chungwa kilikwa kimeorodhesha wagombeaji kumi na mmoja kumenyana katika uteuzi wa mwaniaji atakayepeperusha bendera ya chama. Hata hivyo, siku tatu kabla ya wakaazi […]
Education burden in Dagoretti
So can a child whose parent earns Ksh. 200 in a day be promised of future life, if even basic education that the government says is free is still paid for?
Matian’gi aamrisha vyumba vya burudani kufungwa siku mbili za sensa
Huku zoezi la kuhesabu watu nchini almaarufu sensa likitarajiwa kun’goa nanga usiku wa tarehe ishirini na nne Agosti, wakenya wameonekana kuwa na hofu ya usalama […]
Ujenzi wa Thiong’o Wakamilika
Muakilishi wa wadi ya Mountain view Mourice Ochieng amewataka wakaazi wa wadi hiyo kuchukua fursa ya maendeleao eneo hilo kujiendeleza kibiashara. Akizungumza na Mtaani redio […]
Seneta wa Nandi Samson Cherargei kushtakiwa kwa matamshi ya uchochezi
Seneta huyo alikamatwa kutoka nyumbani kwake Eldoret na baadaye akaandikisha taarifa kwa maafisa wa polisi. Seneta huyo anadaiwa kutamka matamshi ya chuki alipokuwa katika mazishi […]
