Muakilishi wa wadi ya Mountain view Mourice Ochieng amewataka wakaazi wa wadi hiyo kuchukua fursa ya maendeleao eneo hilo kujiendeleza kibiashara. Akizungumza na Mtaani redio […]
Seneta wa Nandi Samson Cherargei kushtakiwa kwa matamshi ya uchochezi
Seneta huyo alikamatwa kutoka nyumbani kwake Eldoret na baadaye akaandikisha taarifa kwa maafisa wa polisi. Seneta huyo anadaiwa kutamka matamshi ya chuki alipokuwa katika mazishi […]
Wakaazi wa Dagoretti watoa maoni yao kuhusu Bajeti ya kaunti
Wakaazi wa eneo bunge la dagoreti kusini walijitokeza kwa wingi katika ukumbi wa Waithaka Juma nne hii kupendekeza hoja ambazo wangetaka ziafikiwe na serikali ya […]
Pogba apoteza penalti na kuzamisha United
Matumaini ya Man United ya kutetea ushindi wao dhidi ya Chelsea katika mechi yao ya ufunguzi kwa msimu mpya, ulizimwa siku ya Jumatatu, Agosti 19 […]
Maraga ahimiza majaji kupunguza mrundiko wa kesi
Jaji mkuu David Maraga amefungua rasmi kongamano la kila mwaka la majaji katika kaunti ya Mombasa.Kongamano hilo la siku nne linalenga kuleta pamoja majaji kuzungumzia […]
Kibra kupata Mbunge mpya tarehe 7 Novemba
Kiti cha Ubunge wa Kibra uliwachwa wazi baada ya Mbunge Ken Okoth kufariki mwezi Julai baada ya kuugua Ugonjwa wa Saratani ya Utumbo. Wakaazi wa […]
Rais Uhuru Kenyatta aongoza wakenya kuomboleza Msanii wa Benga De’Mathew
Mwandishi: Kevin Oduor Rais Uhuru Kenyatta, Raila na Ruto wameongoza wakenya kuomboleza kifa cha mwanamuziki mashuhuri John De’Mathew aliyefariki Jumapili, Agosti 18, kwenye ajali ya […]
