Rais Uhuru Kenyatta alimpigia simu mkiambiaji mashuhuri Eliud Kipchoge kumtia moyo huku mwariadha huyo akijitayarisha kwa mbio za INEOS. Kwa video zinazosambaa katika mtandao wa […]
Likoni Feri- Mariam Kigenda na mwanawe Amanda waopolewa baada ya siku 13 majini
Hatimaye mama na bintiye waliokuwa wamezama baharini eneo la kivuko cha Likoni, Kaunti ya Mombasa wameopolewa kutoka majini karibia siku kumi na tatu baada ya mkasa.
Precious Talent-Ibada ya Wafu yaandaliwa kwa wanafunzi 8 waliofariki kwa mkasa
Viongozi humu nchini wameendelea kukashifu kifo cha wanafunzi hao huku Serikali ya kaunti ya Nairobi ikiendelea kupokea lalama zaidi
DCI INAWAHOJI WAKUU WA SHULE YA PRECIOUS TALENT.
Wakurugenzi wa shule ya Precious Talent ilioko eneo la Ng’ando Dagoretti hapa Nairobi wanahojiwa na DCI katika kituo cha polisi cha Kabete. Hii ni baada […]
Mashindano ya kukabiliana na Maradhi ya Moyo
Mwandishi : Fridah Okachi Mtu mmoja kati ya kumi hupoteza maisha huku watu wawili kati ya kumi wakilazwa kwenye hospitali kutokana na maradhi ya mshtuko […]
Mashirika yasiyo ya kiserikali wadi ya Gatina kwa ushirikiano na wakaazi washerehekea siku ya amani duniani
Mwandishi: Fridah Okachi Wakazi, viongozi wa miungano ya mashirika yasiyo ya kiserikali waadhimisha siku ya amani katika mtaa wa Congo. Josephine Njeri Njiru kiongozi wa […]
Dagoretti: Wanafunzi 7 waaga dunia baada ya madarasa kuporomoka mtaani Ngando
Wanafunzi 7 wamedhibitishwa kufariki kwenye mkasa wa ukuta kuporomoka na hatimaye madarasa kuanguka katika Shule ya Precious Talent, eneo la Ng’ando, mtaani Dagoretti, jijini Nairobi. […]
Afisa wa Polisi auwawa baada ya kuzozana na wenzake Kawangware
Afisa huyo wa polisi anayetambulika kama Benson Indeche alikwa akihudumu katika kituo cha polisi cha Riruta na alikwa katika ngazi ya Inspekta. Mwendazake anadaiwa kupigwa […]
Feeding and Toilet construction in Tollen Centre
Oya Oya Family, a group of our drive show fans led by Mc Barr Prince which was founded in 2016 started projects to support the centers.
ODM Yaahirisha Uteuzi wa Ubunge Kibra
Chama cha chungwa kilikwa kimeorodhesha wagombeaji kumi na mmoja kumenyana katika uteuzi wa mwaniaji atakayepeperusha bendera ya chama. Hata hivyo, siku tatu kabla ya wakaazi […]
