Nairobi is the biggest metropolitan areas in all of Kenya. There are millions of people moving through the city every day and the flow individuals […]
ODM yafanya mabadiliko ya Uongozi kaunti ya Nairobi…
Chama cha ODM kimebadilisha uongozi wake katika bunge la kaunti ya Nairobi. Muakilishi wa wadi ya Karen David Njilithia amechaguliwa kiongozi wa wachache na kujua […]
Kamanda, Waiguru kuongoza BBI Mlima Kenya.
Maina Kamanda na gavana wa Kirinyaga Ann Waiguru wameteuliwa kuliongoza hamasisho kuhusu BBI katika eneo pana la mlima Kenya. Hii inafuatia mkutano ambao umeandaliwa katika […]
Wajumbe 5 wazirai kwa foleni
Kongamano hili linaendelea katika jumba la mikutano la kimataifa la KICC.
Jubilee chambandua Abdi Guyo kama Kiongozi wa Wengi katika bunge ya kaunti ya Nairobi
Nafasi yake sasa inachukuliwa na Charles Thuo.
Mshukiwa wa Mauji wa Tob Cohen akamatwa
Mshukiwa huyo amekamatwa kufuatia ilani ya mahakama moja mjini Naivasha.
Silverstone yasitisha shughuli zake za usafiri
Wakati huu kampuni hiyo itawasiliana na wateja wake kuzuia mahangaiko zaidi.
Social Media addiction in college age students
In a study recently published in the African Journal of Clinical Psychology, an affiliate of Daystar University in Nairobi, researchers found alarmingly high rates of […]
Rais Uhuru apigia simu mwanariadha Eliud Kipchoge kumtia moyo
Rais Uhuru Kenyatta alimpigia simu mkiambiaji mashuhuri Eliud Kipchoge kumtia moyo huku mwariadha huyo akijitayarisha kwa mbio za INEOS. Kwa video zinazosambaa katika mtandao wa […]
Likoni Feri- Mariam Kigenda na mwanawe Amanda waopolewa baada ya siku 13 majini
Hatimaye mama na bintiye waliokuwa wamezama baharini eneo la kivuko cha Likoni, Kaunti ya Mombasa wameopolewa kutoka majini karibia siku kumi na tatu baada ya mkasa.
