Friday, January 31, 2025
HomeNewsJubilee chambandua Abdi Guyo kama Kiongozi wa Wengi katika bunge ya kaunti...

Jubilee chambandua Abdi Guyo kama Kiongozi wa Wengi katika bunge ya kaunti ya Nairobi

Katibu mkuu wa chama cha Jubilee Raphael Tuju amethibitisha kuondolewa kwa Abdi Guyo kama kiongozi wa wengi katika bunge la kaunti ya Nairobi. Nafasi yake sasa inachukuliwa na Charles Thuo.

Haya yanajiri siku moja baada ya kushuhudiwa kwa ghasia katika majengo la bunge hilo, baada ya Spika Beatrice Elachi Kutangaza mabadiliko haya. Abdi Guyo aliongoza baadhi ya wawakilishi wadi wanaoegemea upande wa Jubilee kumn’gatua spika wa bunge mwaka moja baada ya kurejeshwa kazini na mahakama ya wafanyikazi nchini Labour Courts.

Kamadi Amata
Kamadi Amatahttps://mtaaniradio.or.ke
I am a digital content creator with niche in Health, politics, and Human Interest Features.
RELATED ARTICLES

Most Popular

Recent Comments

Solverwp- WordPress Theme and Plugin

Facebook

adapazarı escort Eskişehir escort bayan