Monday, April 15, 2024
HomeNewsUhuru akutana na magavana wa Bonde la Ufa kwa Maandalizi ya BBI

Uhuru akutana na magavana wa Bonde la Ufa kwa Maandalizi ya BBI

Mwandishi : Kevin Oduor

Rais Uhuru Kenyatta amekutana na baadhi ya magavana kutoka mkoa wa Bonde la Ufa katika Ikulu ya Nairobi Mkutano huu umejiri huku kukiwepo na wasiwasi mkubwa wa viongozi kutoka eneo hilo kugawanyika kwa ajili ya mpango wa BBI. Mkutano wa BBI unatarajiwa kufanyika Jumamosi, Mach 21, mjini Nakuru baadhi ya ajenda waliojadili magavana hao ilikuwa ni kuhusu mchakato wa BBI.

Kufuatia taarifa kutoka Ikulu, magavana hao walimhakikishia Uhuru kuwa mkutano huo utakuwa wenye mafanikio makubwa na utaendeshwa kama ilivyoratibiwa. Mkutano huo wa BBI ulikuwa ufanyika Jumamosi, Machi 7, ila ukaharishwa baada ya ule wa Meru kukumbwa na vurugu.

Kamadi Amata
Kamadi Amatahttps://mtaaniradio.or.ke
I am a digital content creator with niche in Health, politics, and Human Interest Features.
RELATED ARTICLES

Most Popular

Recent Comments

Solverwp- WordPress Theme and Plugin

Facebook

adapazarı escort Eskişehir escort bayan